Assalaam Alaykum Wana Barza,
Katika makala hii ninajaribu kutathmini kwa ufupi tu hali halisi
ya Kisiasa
na athari zake huko ZNZ kama inavyoiona na suluhisho
lake kama
ninavyofikiria. Makala hii si zaidi ya mazawo yangu
binafsi na si lazima mtu
yeyote akubaliane na mawazo haya
na kila mtu anayo haki kamili ya kunipinga
bila ya kuwa na
ushahidi na hoja yeyote ile.
Nchi yoyote duniani inapokuwa ipo
katika harakati za kutafuta uhuru wake
kamili mbinu mbali mbali
huwa zinatumika ili kuhakisha kupatika kwa uhuru
huo. Kwani
kikawaida mkoloni wa aina yoyote anakuwa hatoi uhuru kirahisi.
Ama
kwa upande wa ZNZ inaonekana wazi kwamba bado hadi kufikia wakati
huu
tulionao mbinu iliyotumika katika kuhakikisha uhuru wetu
ni moja tu nayo ni
kutumia ”CHAMA CHA SIASA CHA
UPINZANI”.
CCM NA MATATIZO YA ZNZ
Kuna msemo
wa Kiswahili usemao ‘KIKULACHO KINGUONI MWAKO’ maana
halisi ya
msemo huu ni adui yako ni mtu akujuae. Katika upande
wa siasa na utaratibu
wa maisha wa ZNZ fikra hizi za watu wa
kale labda zimekusa ndipo, kwa hali
moja au nyengine ADUI
WETU anatufahamu vizuri kani ametusoma kwa miaka
mingi wakati
sisi tumelala dororo.
Wanzabibari kwa sababu tumelala by large
tumeshindwa kumjua adui yetu. Wengi
tunachukulia CCM kama ndie
adui yetu mkuu.
Katika wakati kama huu tulionao wa dhiki na shida
kubwa kunaushahidi wa
kutosha kwamba CCM sio hasa adui wetu
bali ni kijivuli tu cha adui huyo,
kwahivyo kwa kutumuia mbinu
ya kupambana na CCM directly kuna uwezekano wa
kuendelea kunoa
kama tulivyokwisha noa mihula miwili iliyopita.
CCM ni kijivuli
cha JINI mkubwa ambae ni Kanisa Katoliki. Kwahivyo kupigana
na
CCM ni sawa na kupigana na kijivuli cha Jini huyu. Kwa bahati mbaya
sana
Jini huyu amesha tuzungumka kimawazo, kifikra, kiutawala,
hali na mali na
kujinasua kutoka katika mipangilio yake
kunahitaji ukakamavu, ushujaa,
kutumiwa kwa akili kwa
hali ya juu na pamoja na yote hayo kuwepo kwa
utaratibu mpya
ambao utawaunganisha Wazanzibari wote KIMAWAZO na Kiakili.
Jini
huyu ameusabilia moyo wake wote akitaka kushinda miyo yetu,
na
kwabahati mbaya sana amefanikiwa vya kutosha. Leo hii
adui hasa wa
Wazanzibari ni Mzanzibari mwenyewe, au kwa lugha
nyengine adui yetu ni
Mzanzibari anae endeshwa kwa remote control
na JINI huyu bila kujijua.
ADUI WA ZNZ
Katika awamu za
utawala wa ZNZ zilizopita kabla ya 1995 uadui wa ZNZ ulikuwa
ni
shared business baina ya Tanganyika na Viongozi wa ZNZ. Leo hii audui
wa
ZNZ unafanywa 90% na Wazanzibari wenyewe. ZNZ is getting
worse & worse in
different and every way every time new
ZNZ’s President is elected and every
time a Zanzibari is
given a high post in So called Union Government,
sometimes I even
feel like these guys are zombies to me, like living dead!
Yes
indeed, People do make mistakes along the way, let's take it like
this
'no body is perfect' in life. They always say ‘to
make a mistake is not a
mistake to repeat a mistake is a great
mistake’, but these guys are
repeating same mistake
over and over and over again. Above all they don’t
even
realize that they are making mistakes!!
Pengine si vizuri
kuwalaumu kutokana na hali halisi ya maisha ilivyofikilia
leo
hii. Ndugu zetu hawa labda wanatumilia madaraka hayo kujiimarisha
japo
kwa uharamu.
It’s very true that honesty
is but all and necessary in life. Sometimes some
people are
trying to avoid it for different reasons. May be we can’t
blame
them all coz some of their reasons carry some
weight and therefore may be
considered valid. Though
some people use white lies to justify their actions
of
what may be seen of immoral by other people and immoral indeed they
are!
Wazanzibari tuna haki kamili ya kuwalaumu Viongozi wetu kwa
kitendo cha
kuiuza nchi yetu kwa bei nafuu. Wakati wa awamu ya
kwanza ya vyama zingi ZNZ
ilikuwa on sale in open market. Dr
Salimini aliipiga mnada ZNZ mbele ya
macho yetu. Adabu yake
yeye ndie aliyekuwa Raisi wa mwanzo wa ZNZ kuwa kama
mkuu
wa Mkoa wa ZNZ au kuvishwa kilemba cha Ukoka tu.
UHURU NA
ZNZ
Talking about UHURU, we all love to be free. But we should be
extra careful
when we involve ourselves with these so-called
good thing in life
‘Democracy’. I am not
sure if people have noticed but here lies the most
dangerous
agenda and several hidden propagandas that could lead someone
to
the avenues that will not permit him/her to develop a balance
personality.
One can be easily misguided and confused. The
thing is taking young people’s
discipline and power to
control themselves. These things are like
double-edged sword
like anything else in life, can be both good and bad, but
the
only problem with this sword doesn’t have a handle, it’s
plain blade.
Kwanini ninafikiria hivi, kwasababu katika kutafuta uhuru
kikawaida watu
wanakuwa na different opinions na mawazo tofauti
katika mambo ya siasa may
most of time cause emotional problems
especial to young ones. I know as well
as they do emotions
are so strong and not easy to control, travelling faster
than
light. Sote tunashuhudia nini kinachondelea mbele ya macho yetu ZNZ
leo
hii. Sisemi kusiwepo na utaratibu wa kuikomboa ZNZ, no,
lakini nakusudia
watu wawe mental conscious katika kushiriki
kwenye harakati kama hizo ili
kumnyima adui wetu mwanya wa
kutumaliza. Vile vile it’s also true that
wherever there
are differences of opinion, if one tend to follow the most
strict
one will rarely fall into trouble!
KWANINI NI SHIDA KUIKOMBOA
ZNZ
Sidhani kama kuna mtu anaweza kuiunder estimate the current
situation of
ZNZ. Katika matatizo makubwa ambayo nadhani
ni mpangilio maalum uliopangwa
ili kuiuwa ZNZ ni kufutwa kwa
Historia yetu. Si fikirii kama suala hili lina
uzito wowote kwa
Wazanzibari wengi. Nyerere alihakikisha anaifuta historia
ya
ZNZ hadi maskulini ndio kwa taarifa yenu hadi nilipokwenda kutembelea
ZNZ
mara ya mwisho skuli hazina somo la Historia katika
masomo hadi kufikia Form
6. Kwanini tusiwasomeshe watoto
wetu historia ya nchi yao? Sina hakika
vizuri lakini ZNZ ni
nchi penkee duniani amabyo haifundishi historia!
Wakati historia
ilipofutwa maskulini bado watoto walikuwa wanasomeshwa ule
ule
upuuzi wa kawaida, “Mke wa Mwarabu alikuwa hajawi kumuona mtu
akianguka
mnazi, basi akachuliwa Muafrika akaambiwa panda mnazi
hafalu akapigwa
bunduki, mke wa Mwarabu akaona kwa mara ya kwanza
vipi mtu aanguka mnazi na
akacheka sana na kufurahi nafsini
mwake”
Lakini Nyerere alijua siku moja watoto watasomeshwa
ukweli na hapo ndipo
itakapokuwa hatari. Nadhani alikuwa
anajua kwamba Wanasayansi 100 hawawezi
kuvuruga mawazo ya watu
lakini inaweza kuchukuwa mwana historia mmoja tu
kuichafua nchi
nzima.
Kwa taarifa yenu ndugu zangu nchi bila ya historia ni sawa na
mtu bila
miguu, lazima atumie wheelchair na maranyingi lazima
apate mtu amsukume,
ndio hali halisi ya ZNZ sasa kwa sababu
tu hatuna historia tuko kama kilema
na Kanisa Katoliki lipo
nyuma yetu linatusukuma linavyotaka. Na sisi
tunaendelea
kupiga makofi!!!
Wachilia mbali hali halisi ya ZNZ kabla ya
kutekwa na Tanganyika 1964,
vijana wengi wa ZNZ wahajui
nini kilitokea ZNZ hata baada ya unyang’anyi huo
wa
64! Aibu gani hii. Na hii ndio maana vijana wanatafautiana kimawazo
leo
hii katika mambo ya siasa. Vijana wetu wamekuwa
mesmerized na tantalised by
our enemy! This is about time
to revert watoto wetu na lazima wasomeshwe
ukweli wa NCHI
YAO!
MATATIZO YA CHAMA CHA UPINZANI
KATIKA UKOMBOZI WA
ZNZ
Chama cha siasa cha upinzani pekee hakiwezi kuikomboa ZNZ,
kwani utaratibu
huu hauwezi kuwaunganizha Wanzanzibari wote
kimawazo na kisaikologia.
Kwanza; kuwepo kwa masuala ya uchaguzi
haramu na nguvu ya Tume ya Uchaguzi
na kuwepo kwa wanafiki
wengi Nchini kunasababisha hata baadhi ya watu
kukatika
tamaa.
Pili chama tawala ndicho kwa hali zote kinachoshikilia
vyombo vyote muhimu
vya dola na Taasisi zake muhimu ambazo
kwa hali moja au nyengine ndio
vinavyo miliki na kuendesha
maisha ya watu kwa ujumla mfano; Polisi,
Mahkama, Jeshi, TV,
Radio, Magazeti na majarida. Hata zile taasisi ambazo
kwa
mfumo mpya wa maisha zimemilikiwa na watu binafsi bado zinafanyakazi
kwa
kutumia mfumo ule ule unaotumiliwa na JINI
MKUU.
Tatu; Chama cha upinzani katika hali kama hii kinaweza
kuyaona matatizo
lakini hakina uwezo wowote wa kuyatatua
kwani hakina power hata chembe wala
hakishirikishwi katika
maamuzi ya aina yoyote ya nchi.
Nne; Chama Cha upinzani
kwa sababu hakina means na sources zozote kama vile
za
vyombo vya habari inabidi iwasilishe ujumbe kwa wafuasi wake kwa njia
ya
mikutano ya hadhara. Hapa ndipo palipo na matitizo makubwa
pia. Kikawaida
mtu anaposema huwa kuna watu wanasikiliza. Hakika
tone la mvua likituwa
katika tumbo la chaza huwa lulu na likituwa
katika kinywa cha nyoka huwa
sumu. Msikilizaji anayafasiri
maelezo katika hutuba za viongozi wa Chama cha
upanzni kwa
kujibu wa hisia zake chafu.
Mfano mzuri sana ulionekana katika
uchaguzi uliopita huko ZNZ, mhutubu wa
Chama cha Upinzani
alisema marahii wana nia ya ‘JINO KWA JINO’ wengi ya
watu
walipiga makofi wakidhani iliyotamkwa ilikuwa kauli mzuri
na yenye kutia
moya, lakini kauli hii ndio iliyosababisha
kutemshwa kwa jeshi kali ZNZ.
Kauli ya pili ambayo pia watu
walifikiria ndio kumekucha ni ya “MAZUNGUMZO
YETU NI
SIRI NA SITOITOA MPAKA MIAKA……” Kila mtu hata wafuasi
wa chama cha
Upinzani walitafsiri kauli hii wanavyopenda,
lakini kwa tafsiri ya CCM,
walimuweka Rais Muagwa katika
ulinzi mkali nyumbani kwake na kunyimwa
paasport yake katika
siku za uchaguzi, hata kama alikuwa na nia ya kufanya
kitu
ndio chance ilipotoea. Pengine Mkuu huyu wa Chama cha Upinzani
alikuwa
awambie wasikuilizaji wake cho chote kile kama bweresha
bwege tu, badala ya
kutangazia kuna siri kubwa sana baina
yake na Raisi Muagwa.
TATIZO LA WAZANZIBARI
Katika
wakati huu wa dhiki na shida Wazanzibari wanahamu kama sio leo
kesho
lakini wakomboke na dhiki walizonazo. Kupigwa ovyo ovyo,
kuvamiwa majumbani
usiku na mchana, watoto wari kurepiwa na
kuingiliwa na wageni kana kumbi
kumbi bila kujua watnakotoka,
kufunguliwa sehemu za kuuziwa pombe chini ya
MISIKITI,
watu kufukuzwa makazi ovyo, anaefanya kazi ya kujituma mwenywe
ya
biashara ndogo ndogo kuekewa ushuru mkubwa kiasi amabcho
anashindwa
kuendeleza biashara yake, aliyejenga kuvujiwa bila
sababu, na kila balaa
unalolijuwa ikiwemo kuongezeka kwa MAKISA
ZNZ.
Tatizo kubwa la ZNZ ni kutokuwepo kwa umoja. Wazanzibari tuko
nafsi nafsi,
pengine na woga kwa kiasi kikubwa. Wazanzibari ni
wakarimu sana hata kama
mtu anataka kutujinja basi tunampa
shingo na tunamnolea kisu chake.
Adui yetu amegundua siri
nyengine kubwa amabyo ni unafiki. Wazanzibari wengi
hasa
katika madaraka japo madogo ni wanafiki. Watu wanajali matumbo yao
kwa
gharama yoyote hata kama wanaiuza NCHI yao. Ama kweli
umasikini ni adui!
Leo hii imefika hadi mtu yuko tayari
kuiuza personality yake kwa kibaba cha
sembe! Ujinga kiasi
gani jamani huu! I am so sorry for all painful time that
our
people are so suffering from caused by our own people. Shame on
us!! We
all know how hard it is to live in rampage. ZNZ have
its own destiny, soon
or later we will forget this distressed
past forever!
SULUHISHO LA MATATIZO YETU
Kwanza
ni lazima tukubali kwamba; success and purity in life is a long
way
dream for every body, in fact it's like a long road crossing
rivers,
mountains, and valleys, it's a road full of darkness,
windy and above all
there are no signs and proper directions,
one can easily get lost! One can
easily be where the times
diverge. In reality it's absolutely hard to
determine our way
ahead even if sometimes one have a proper map and
guidelines,
that's the true nature of life! Lakini ni haram kuluzi hope.
As
a country ZNZ needs to shine with time again!! I am correct? Before
we
translate any idea into reality in fighting for complete
freedom we have to
keep at lease one thing in mind, whatever
happens we won’t forget that our
today’s
decision is the concrete foundation of our tomorrow’s joy
or
sadness.
Nadhani ili tuikomboe ZNZ ni lazima
tumjue adui yetu hasa, tumsome
anavuyofanya uadui wake halafu
tutafute solution ya kudumu. Bila shaka adui
yetu ametusoma na
ametafuta uadui wa kudumu juu yetu.
Jambo la pili Ni lazima ZNZ
tujaribu kucetralize our problems. Na paundwe
chombo
au jumuia ambayo ishughulikie matatizo ya NZN na jumuia hii
lazima
isiwe ni chama cha siasa kwani kwa mbinu ya chama cha
siasa hatumuwezi adui
yetu. Jumuia hii isijitokeze hadharani
na Cha chetu cha siasa kifanywe kazi
kama kijivuli cha jumuia
hii tu.
Jambo la tatu ni lazima juia hiyo kucentralize our people
mentally and
emotionally. Jumuia hii lazima izi recollect young
people thoughts, strength
and above all interests. Leo kuna
ujinga umeshika roho za watu wa ZNZ
Muunguja na Mpemba huku Mkapa
anatumaliza, lazima kuwe na Zanzibari
Nationalism. Huu mpango
wa Muunguja na Mpemba ni gugu lililopandikizwa
kichani mwetu
inaonekana limenawiri vizuri sana.
Jumuia hii lazima iwa-program
vijana kuwa tayari kufanya lolote when it
matters most. Vijana
lazima wafundishwe kuipenda nchi yao.
Vijana wote lazima wajue
kwamba what happed here during the silent time was
the
normal reaction, thinking. ON DAY YES and so, it was difficult at
hat
stage to do anything! That day never here yet! But if
today we have to think
anyway we have to decide to think
big. Thinking of re-writing the history
back some day, and it
should be soon! You know we always miss what we had!!!
We
had a country some day ago and we miss it badly!
It took
Tanganyika about 7 years to override our destiny from 57 to 64
let
it take us 10 years from today it’s ok but we have
to decide for ZNZ using
our own mind!
ZNZ LONG LOST
FRIEND
ZNZ once you had a nice, beautiful and healthy name. Long,
clean bunch of
beautiful places deserves to be seen now sold
to ITALIANS. A cute city
decorated with beautiful charm, eyes
could see you, nose could smell you and
your heart opened up
to the totality of your unique personality, since they
have
no room in darkness!! ZNZ needs to shine again; it’s in our hand
now
unfortunately!!!
These guys enemy of yours, no doubt,
must be the luckiest people ever-in
life to control you, I
don’t know but I think you should not go through all
this
pain; your heart is so young to handle much of this torture and
pain.
Why don’t you pretend like you never saw
these guys in your life before!
They say ‘you
never miss what you never had’ so may be you can be free
again
from your mental slavery!
I love ZNZ
Mpemba
Fyoko