Muafaka ng'ombe asopembe!
1 Dec 2001
Ngombe uliyemtaja, pembe zake kazificha
Hufika ukimtaja, kwato zake za makucha
Tuanze funga mkaja, kwani bado hajachacha
Hashil
Muandishi wa shairi hili alikuwa akijibu wimbo huu ulioletwa na mjumbe A-106:
Aloanza pekepeke, kugombanisha viumbe
sasa yupo pekee yake, kama ngombe asopembe
kama liza hila zak, hazi fai hata chembe