|
|
KWA LAHAJA MBILI!
Date: 16 April, 2008
- Kwa wote wanotupenda
Karibuni huko kwetu
Twafanana na Wapemba
Kwa ari na mila zetu
Wa maneno na kutenda
Ngazija, Ndzuwani, wenetu!
- Ngazija, Ndzuwani, wenetu
Jifahari kwa vitendo
Kwa kupanga tungo zetu
Zenye ladha na viungo
Kutukuza yalo yetu
Kwa bushuti na majohkho!
- Kwa bushuti na majokho
Sote tunajifahari
Hatuogopi majogoo
Mvita na Zinjibari
Hao nao wana koo
Zenye udi na ambari!
- Zenye udi na ambari
Waume na wanawake
Kuviaza mahodari
Mtu kulinda chake
Hata nguru na jodari
Wafikapo Chake Chake!
Salim Hamidi
1/Dedicated to Mohamed ibn Sheikh Ahmed ibn Saïd Ali El-Maârouf/Veteran Comorian diplomat
Marahaba bô Mwana
Ilembwe sha Maâroufu
Hufanya za ulingana
Za ladha na utukoufu
Tsena si za huwangana
Wala si za marudjoufu!
Salim Himidi,
Bwantosha.
_________________
2/From Ustaadh Mohamed ibn Khelef El-Ghassani, Malenga wa Zanzibar
Wed, 16 Apr 2008
Natamani ningejuwa, kukinena Kingazija
Maana haitambuwa, nami hawa na faraja
Hizino beti zi sawa, mithali za Kiunguja
Bwanatosha tosha kweli, M'ngu nakuzidishiye
Bwana M'ngu kanakupa, uweledi wa lahaja
Hakuna la kukutupa, Ngazija wala Unguja
Natamani nami hapa, haweza hayo kutaja
Bwanatosha tosha kweli, M'ngu nakuzidishiye
Mohammed Ghassani
Mashairi ya hangu ha lugha ya Shikomor, par Salim H. HIMIDI
Sun, 13 Apr 2008
3-/Dedicated to Inspecteur Ahmada Tabibou wa Mmadi, Mwana wa Ntsudjini na Fumbuni.
- Mwanama bô Mmadi, tsidjiviwa na tulosema
Mwana wa nasaba na djadi, wa hwenda Raâs-el-Khema
Yadungane na Maâbadi, na le voroga kugema.
- Wa le voroga kugema, yende yiho Hamahame
Itsandzeni na Hadebvwa, yatsahe tapu na she ikame
Wala atsambe hapvwewa, bâ yizo tsi sawa naye.
- Yizo, tsi sawa nawe, ye yala ha Ntsudjini
Mdjuhuu wa Kari Bangwe, goba kuu la Mbadjini
Ilembwe sha Mbaye Tambwe, wa urisomea Yaâsini.
- Wa urisomea Yaâsini, na uriwania nkodo
Rihifadhwi Dari Ntsini, ha hutafunya ze mbvopvoo
Wala karina usiha ntsini, ha udjuwa ze ndrongoo.
- Udjizi waze ndrongoo, zo uhea no wahuu
Tsi wa pabvwa, wala nkotsowo, yizo za Mwinyi Mkuu
Zilo za upesi na ndro: elimu ne nasaba nkuu.
- Elimu ne nasaba nkuu: yizo si za madjirani
Wala si za Bangwe Kuu: zo za trengwe no undziani
Za watru mashudjaa wahuu: wa Mbéni na Uziwani!
Salim H. Himidi M. Bwanatosha
Mwana wa Mbéni na Ntsudjini,
Paris, France.
___________
4-/Dedicated to Shakur M. Aboud, VOA-Kiswahili, Washington, DC, USA.
- Mwanama Bwana Shakuru, lelo ngamdjo hwambia
Hunifanyia za turu, pvasina hunidjambia
Wala tsena si kufuru, yapvo ulo watwania!
- Yapvo ulo watwania, husutene za Kikwete
Aribaye ze mfia, djizo wafanya Wete
Za Unguja na Mafia, na Mtsamdu wa fete!
- Na Mtsamdu wa fete, ha nkondro ya pvo djuzi
Kapvutsi wahafa trete, madza AHA tsi mupuzi
Haambale ne Mayotte, ha tik-tak ya ufwakuzi!
- Ha tik-tak ya ufwakuzi, AHA ye hwandza watroto,
Madza waye tsi mbaguzi, kamwe kapardone poto
Mfalume wa savuzi, wa hudjiviza maboto!
- Wa hudjiviza maboto, hata mnyawe Ikililou
Waye nafaswaha nto, Mwali bole tsi mafilu
Tournanti yawo koto, kamwe kawalehedza pilu!
salim Himidi
|