.

Welcome to Zanzinet Swahili Poems

Where Swahili matters!

KWA LAHAJA MBILI!

 

 

 

 

 

 

Related links

KWA LAHAJA MBILI!

Date: 16 April, 2008

  1. Kwa wote wanotupenda
    Karibuni huko kwetu
    Twafanana na Wapemba
    Kwa ari na mila zetu
    Wa maneno na kutenda
    Ngazija, Ndzuwani, wenetu!

  2. Ngazija, Ndzuwani, wenetu
    Jifahari kwa vitendo
    Kwa kupanga tungo zetu
    Zenye ladha na viungo
    Kutukuza yalo yetu
    Kwa bushuti na majohkho!

  3. Kwa bushuti na majokho
    Sote tunajifahari
    Hatuogopi majogoo
    Mvita na Zinjibari
    Hao nao wana koo
    Zenye udi na ambari!

  4. Zenye udi na ambari
    Waume na wanawake
    Kuviaza mahodari
    Mtu kulinda chake
    Hata nguru na jodari
    Wafikapo Chake Chake!

Salim Hamidi

1/Dedicated to Mohamed ibn Sheikh Ahmed ibn Saïd Ali El-Maârouf/Veteran Comorian diplomat

    Marahaba bô Mwana
    Ilembwe sha Maâroufu
    Hufanya za ulingana
    Za ladha na utukoufu
    Tsena si za huwangana
    Wala si za marudjoufu!

Salim Himidi,
Bwantosha.

_________________

2/From Ustaadh Mohamed ibn Khelef El-Ghassani, Malenga wa Zanzibar

Wed, 16 Apr 2008

  • Natamani ningejuwa, kukinena Kingazija
    Maana haitambuwa, nami hawa na faraja
    Hizino beti zi sawa, mithali za Kiunguja
    Bwanatosha tosha kweli, M'ngu nakuzidishiye

  • Bwana M'ngu kanakupa, uweledi wa lahaja
    Hakuna la kukutupa, Ngazija wala Unguja
    Natamani nami hapa, haweza hayo kutaja
    Bwanatosha tosha kweli, M'ngu nakuzidishiye
  • Mohammed Ghassani

    Mashairi ya hangu ha lugha ya Shikomor, par Salim H. HIMIDI
    Sun, 13 Apr 2008

    3-/Dedicated to Inspecteur Ahmada Tabibou wa Mmadi, Mwana wa Ntsudjini na Fumbuni.

    1. Mwanama bô Mmadi, tsidjiviwa na tulosema
      Mwana wa nasaba na djadi, wa hwenda Raâs-el-Khema
      Yadungane na Maâbadi, na le voroga kugema.
    2. Wa le voroga kugema, yende yiho Hamahame
      Itsandzeni na Hadebvwa, yatsahe tapu na she ikame
      Wala atsambe hapvwewa, bâ yizo tsi sawa naye.
    3. Yizo, tsi sawa nawe, ye yala ha Ntsudjini
      Mdjuhuu wa Kari Bangwe, goba kuu la Mbadjini
      Ilembwe sha Mbaye Tambwe, wa urisomea Yaâsini.
    4. Wa urisomea Yaâsini, na uriwania nkodo
      Rihifadhwi Dari Ntsini, ha hutafunya ze mbvopvoo
      Wala karina usiha ntsini, ha udjuwa ze ndrongoo.
    5. Udjizi waze ndrongoo, zo uhea no wahuu
      Tsi wa pabvwa, wala nkotsowo, yizo za Mwinyi Mkuu
      Zilo za upesi na ndro: elimu ne nasaba nkuu.
    6. Elimu ne nasaba nkuu: yizo si za madjirani
      Wala si za Bangwe Kuu: zo za trengwe no undziani
      Za watru mashudjaa wahuu: wa Mbéni na Uziwani!

    Salim H. Himidi M. Bwanatosha
    Mwana wa Mbéni na Ntsudjini,
    Paris, France.

    ___________

    4-/Dedicated to Shakur M. Aboud, VOA-Kiswahili, Washington, DC, USA.

    1. Mwanama Bwana Shakuru, lelo ngamdjo hwambia
      Hunifanyia za turu, pvasina hunidjambia
      Wala tsena si kufuru, yapvo ulo watwania!

    2. Yapvo ulo watwania, husutene za Kikwete
      Aribaye ze mfia, djizo wafanya Wete
      Za Unguja na Mafia, na Mtsamdu wa fete!

    3. Na Mtsamdu wa fete, ha nkondro ya pvo djuzi
      Kapvutsi wahafa trete, madza AHA tsi mupuzi
      Haambale ne Mayotte, ha tik-tak ya ufwakuzi!

    4. Ha tik-tak ya ufwakuzi, AHA ye hwandza watroto,
      Madza waye tsi mbaguzi, kamwe kapardone poto
      Mfalume wa savuzi, wa hudjiviza maboto!

    5. Wa hudjiviza maboto, hata mnyawe Ikililou
      Waye nafaswaha nto, Mwali bole tsi mafilu
      Tournanti yawo koto, kamwe kawalehedza pilu!

    salim Himidi

      About Us | Zanzinet Home | Contact Us | ©2004 Zanzinet